Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 12:12-27 Swahili Union Version (SUV)

12. Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;

13. wa Ezra, Meshulamu; wa Amaria, Yehohanani;

14. wa Maluki, Yonathani; wa Shekania, Yusufu;

15. wa Harimu, Adna; wa Meremothi, Helkai;

16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;

17. wa Abia, Zikri; wa Miyamini; wa Maazia, Piltai;

18. wa Bilgai, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;

19. wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;

20. wa Salu, Kalai; wa Amoki, Eberi;

21. wa Hilkia, Hashabia; wa Yedaya, Nethaneli.

22. Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameandikwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.

23. Wana wa Lawi, wakuu wa mbari za mababa, wameandikwa katika kitabu cha tarehe, hata siku za Yohana mwana wa Eliashibu.

24. Nao wakuu wa Walawi; Hashabia, Sherebia, Yeshua, Binui, Kadmieli, na ndugu zao kuwaelekea, ili kusifu na kushukuru, kama amri ya Daudi, mtu wa Mungu, zamu kwa zamu.

25. Matania, Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni, na Akubu, walikuwa mabawabu, wa kulinda nyumba za hazina penye malango.

26. Hao walikuwapo siku za Yoyakimu, mwana ya Yoshua, mwana wa Yosadaki, na siku za Nehemia, liwali, na Ezra, kuhani, mwandishi.

27. Basi, walipouweka wakfu ukuta wa Yerusalemu wakawatafuta Walawi katika mahali pao pote, ili kuwaleta Yerusalemu, wapate kufanya wakfu pamoja na furaha, na kwa shukrani, na kwa kuimba, kwa matoazi, vinanda na vinubi.

Kusoma sura kamili Neh. 12