Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 12:12-19 Swahili Union Version (SUV)

12. Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;

13. wa Ezra, Meshulamu; wa Amaria, Yehohanani;

14. wa Maluki, Yonathani; wa Shekania, Yusufu;

15. wa Harimu, Adna; wa Meremothi, Helkai;

16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;

17. wa Abia, Zikri; wa Miyamini; wa Maazia, Piltai;

18. wa Bilgai, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;

19. wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;

Kusoma sura kamili Neh. 12