Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 12:1-7 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi, hawa ndio makuhani na Walawi waliopanda na Zerubabeli, mwana wa Shealueli, na Yoshua; Seraya, Yeremia, Ezra;

2. Amaria, Maluki, Hatushi;

3. Shekania, Harimu, Meremothi;

4. Ido, Ginethoni, Abia;

5. Miyamini, Maazia, Bilgai;

6. Shemaya, Yoyaribu, Yedaya;

7. Salu, Amoki, Hilkia, Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na ndugu zao siku za Yoshua.

Kusoma sura kamili Neh. 12