Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 12:1-12 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi, hawa ndio makuhani na Walawi waliopanda na Zerubabeli, mwana wa Shealueli, na Yoshua; Seraya, Yeremia, Ezra;

2. Amaria, Maluki, Hatushi;

3. Shekania, Harimu, Meremothi;

4. Ido, Ginethoni, Abia;

5. Miyamini, Maazia, Bilgai;

6. Shemaya, Yoyaribu, Yedaya;

7. Salu, Amoki, Hilkia, Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na ndugu zao siku za Yoshua.

8. Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.

9. Tena Bakbukia na Uno, ndugu zao, kuwaelekea kwa zamu.

10. Naye Yoshua akamzaa Yoyakimu, Yoyakimu akamzaa Eliashibu, Eliashibu akamzaa Yoyada,

11. Yoyada akamzaa Yohana, Yohana akamzaa Yadua.

12. Na siku za Yoyakimu wakawako makuhani, wakuu wa mbari za mababa; wa Seraya, Meraya; wa Yeremia, Hanania;

Kusoma sura kamili Neh. 12