Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 11:30-34 Swahili Union Version (SUV)

30. Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakatua toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.

31. Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake;

32. Anathothi, Nobu, Anania;

33. Hazori, Rama, Gitaimu;

34. Hadidi, Seboimu, Nebalati;

Kusoma sura kamili Neh. 11