Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 11:27-34 Swahili Union Version (SUV)

27. na Hazar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;

28. na katika Siklagi, na Mekona na vijiji vyake;

29. na katika Enrimoni, na Sora, na Yarmuthi;

30. Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakatua toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.

31. Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake;

32. Anathothi, Nobu, Anania;

33. Hazori, Rama, Gitaimu;

34. Hadidi, Seboimu, Nebalati;

Kusoma sura kamili Neh. 11