Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 11:26-36 Swahili Union Version (SUV)

26. na katika Yeshua, na Molada, na Beth-peleti;

27. na Hazar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;

28. na katika Siklagi, na Mekona na vijiji vyake;

29. na katika Enrimoni, na Sora, na Yarmuthi;

30. Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakatua toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.

31. Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Beth-eli na vijiji vyake;

32. Anathothi, Nobu, Anania;

33. Hazori, Rama, Gitaimu;

34. Hadidi, Seboimu, Nebalati;

35. Lodi, na Ono, bonde la Wakarashi.

36. Na wa Walawi, wengine walikaa katika Yuda na wengine katika Benyamini.

Kusoma sura kamili Neh. 11