7. Meshulamu, Abiya, Miyamini;
8. Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.
9. Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;
10. na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;
11. Mika, Rehobu, Hashabia;