Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 10:6-20 Swahili Union Version (SUV)

6. Danieli, Ginethoni, Baruki;

7. Meshulamu, Abiya, Miyamini;

8. Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.

9. Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;

10. na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;

11. Mika, Rehobu, Hashabia;

12. Zakuri, Sherebia, Shebania;

13. Hodia, Bani, Beninu;

14. Na wakuu wa watu; Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani;

15. Buni, Azgadi, Bebai;

16. Adonikamu, Bigwai, Adini;

17. Ateri, Hezakia, Azuri;

18. Hodia, Hashumu, Besai;

19. Harifu, Anathothi, Nobai;

20. Magpiashi, Meshulamu, Heziri;

Kusoma sura kamili Neh. 10