Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 10:1-10 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi hawa ndio waliotia muhuri; Nehemia, ndiye Tirshatha, mwana wa Hakalia, na Sedekia;

2. Seraya, Azaria, Yeremia;

3. Pashuri, Amaria, Malkiya;

4. Hamshi, Shekania, Maluki;

5. Harimu, Meremothi, Obadia;

6. Danieli, Ginethoni, Baruki;

7. Meshulamu, Abiya, Miyamini;

8. Maazia, Bilgai, Shemaya; hao ndio waliokuwa makuhani.

9. Na Walawi; ndio, Yeshua, mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli;

10. na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;

Kusoma sura kamili Neh. 10