Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 1:3 Swahili Union Version (SUV)

Wakaniambia, Watu wa uhamisho, waliosalia huko katika wilaya ile, wamo katika hali ya dhiki nyingi na mashutumu; tena ukuta wa Yerusalemu umebomolewa, na malango yake yameteketezwa kwa moto.

Kusoma sura kamili Neh. 1

Mtazamo Neh. 1:3 katika mazingira