Agano la Kale

Agano Jipya

Mhu. 4:8 Swahili Union Version (SUV)

Kuna mtu aliye peke yake, wala hana wa pili wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.

Kusoma sura kamili Mhu. 4

Mtazamo Mhu. 4:8 katika mazingira