Agano la Kale

Agano Jipya

Mhu. 1:1-5 Swahili Union Version (SUV)

1. Maneno ya Mhubiri, mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu

2. Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.

3. Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?

4. Kizazi huenda, kizazi huja; nayo dunia hudumu daima.

5. Jua lachomoza, na jua lashuka, na kufanya haraka kwenda mahali pa maawio yake.

Kusoma sura kamili Mhu. 1