Agano la Kale

Agano Jipya

Kum. 23:8-10 Swahili Union Version (SUV)

8. Wana wao watakaozaliwa kizazi cha tatu na waingie katika mkutano wa BWANA.

9. Utakapotoka kwenda juu ya adui zako nawe u katika marago, jilinde na kila neno baya.

10. Akiwa kwenu mtu awaye yote asiyekuwa ni tohara kwa ajili ya yaliyomtukia usiku, na atoke nje ya kituo, wala asiingie ndani ya kituo;

Kusoma sura kamili Kum. 23