Agano la Kale

Agano Jipya

Hos. 7:1 Swahili Union Version (SUV)

Wakati nitakapo kumponya Israeli, ndipo yafunuliwapo maovu ya Efraimu, na ubaya wa Samaria; maana wanatenda uongo, na mwivi huvunja nyumba za watu, na kundi la wanyang’anyi hushambulia nje.

Kusoma sura kamili Hos. 7

Mtazamo Hos. 7:1 katika mazingira