Agano la Kale

Agano Jipya

Hos. 5:14 Swahili Union Version (SUV)

Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama mwana-simba kwa nyumba ya Yuda; mimi, naam, mimi nitararua, kisha nitakwenda zangu; nitachukulia mbali, wala hapatakuwa na mtu wa kupokonya.

Kusoma sura kamili Hos. 5

Mtazamo Hos. 5:14 katika mazingira