16. Kwa maana Israeli ametenda kwa ukaidi, kama ndama mkaidi; sasa je! BWANA atawalisha kama mwana-kondoo katika mahali penye nafasi!
17. Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache.
18. Kileo chao kimegeuka kuwa uchungu; huzini daima; wakuu wake hupenda aibu.
19. Upepo umemfunikiza kwa mbawa zake; nao watatahayarika kwa sababu ya dhabihu zao.