Agano la Kale

Agano Jipya

Hos. 14:9 Swahili Union Version (SUV)

Ni nani aliye na hekima, naye atayafahamu mambo haya? Ni nani aliye na busara, naye atayajua? Kwa maana njia za BWANA zimenyoka, nao wenye haki watakwenda katika njia hizo; bali waasio wataanguka ndani yake.

Kusoma sura kamili Hos. 14

Mtazamo Hos. 14:9 katika mazingira