Agano la Kale

Agano Jipya

Hos. 12:3-7 Swahili Union Version (SUV)

3. Tumboni alimshika ndugu yake kisigino;Na alipokuwa mtu mzima alikuwa na uwezo kwa Mungu;

4. Naam, alikuwa na uwezo juu ya malaikaAkashinda; alilia, na kumsihi;Alimwona huko Betheli, naye akasema nasi huko;

5. Naam, BWANA, Mungu wa majeshi;BWANA ndilo kumbukumbu lake.

6. Basi, mrudie Mungu wako; shika fadhili na hukumu; ukamngojee Mungu wako daima.

7. Ni mchuuzi, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu.

Kusoma sura kamili Hos. 12