12. Na Yakobo alikimbia mpaka Padan-Aramu,Na Israeli alitumika apate mke;Ili apate mke alichunga kondoo.
13. Na kwa nabii BWANA alimtoa Israeli katika Misri,Na kwa mkono wa nabii alihifadhiwa.
14. Efraimu amenitia hasira kali sana; kwa sababu hiyo damu yake itaachwa juu yake, na Bwana wake atamrudishia lawama yake.