Agano la Kale

Agano Jipya

Hos. 12:12-14 Swahili Union Version (SUV)

12. Na Yakobo alikimbia mpaka Padan-Aramu,Na Israeli alitumika apate mke;Ili apate mke alichunga kondoo.

13. Na kwa nabii BWANA alimtoa Israeli katika Misri,Na kwa mkono wa nabii alihifadhiwa.

14. Efraimu amenitia hasira kali sana; kwa sababu hiyo damu yake itaachwa juu yake, na Bwana wake atamrudishia lawama yake.

Kusoma sura kamili Hos. 12