Agano la Kale

Agano Jipya

Hos. 1:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. BWANA akamwambia, Mwite jina lake Yezreeli; kwa maana bado kitambo kidogo, nitaipatiliza nyumba ya Yehu damu ya Yezreeli, na kuukomesha ufalme wa nyumba ya Israeli.

5. Tena itakuwa siku ile, nitauvunja upinde wa Israeli katika bonde la Yezreeli.

6. Akachukua mimba tena, akazaa mtoto mwanamke. BWANA akamwambia, Mwite jina lake Lo-ruhama; kwa maana sitairehemu nyumba ya Israeli tena, nisije nikawasamehe kwa njia yo yote.

Kusoma sura kamili Hos. 1