Agano la Kale

Agano Jipya

Ezr. 10:6 Swahili Union Version (SUV)

Kisha Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu, akaingia katika chumba cha Yehohanani, mwana wa Eliashibu; hata, alipofika huko, hakula mkate, wala hakunywa maji; kwa maana alilia kwa sababu ya kosa lile la watu wa uhamisho.

Kusoma sura kamili Ezr. 10

Mtazamo Ezr. 10:6 katika mazingira