Agano la Kale

Agano Jipya

Ezr. 10:18 Swahili Union Version (SUV)

Basi, miongoni mwa makuhani walionekana wengine waliokuwa wameoa wanawake wageni; wa wana wa Yoshua, mwana wa Yosadaki, na nduguze; Maaseya, na Eliezeri, na Yaribu, na Gedalia.

Kusoma sura kamili Ezr. 10

Mtazamo Ezr. 10:18 katika mazingira