Agano la Kale

Agano Jipya

Ezr. 10:14 Swahili Union Version (SUV)

Basi maakida wetu na wawekwe kwa ajili ya mkutano wote, na watu wote walio katika miji yetu, waliooa wanawake wageni, na waje nyakati zilizoamriwa, tena pamoja nao na waje wazee wa kila mji, na makadhi wa miji hiyo, hata ghadhabu kali ya Mungu wetu itakapotuondokea mbali, jambo hili likamalizike.

Kusoma sura kamili Ezr. 10

Mtazamo Ezr. 10:14 katika mazingira