Agano la Kale

Agano Jipya

Amo. 7:8 Swahili Union Version (SUV)

BWANA akaniambia, Amosi, unaona nini? Nikasema, Naona timazi. Ndipo Bwana akasema, Tazama, nitaweka timazi kati ya watu wangu Israeli; sitawapita tena kamwe;

Kusoma sura kamili Amo. 7

Mtazamo Amo. 7:8 katika mazingira