Agano la Kale

Agano Jipya

Amo. 2:12-14 Swahili Union Version (SUV)

12. Lakini mliwapa Wanadhiri mvinyo wanywe; mkawaamuru manabii, mkisema, Msifanye unabii.

13. Tazameni, nitawalemea ninyi,Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda.

14. Naye apigaye mbio atapotewa na kimbilio;Wala aliye hodari hataongeza nguvu zake;Wala shujaa hatajiokoa nafsi yake;

Kusoma sura kamili Amo. 2