12. Lakini mliwapa Wanadhiri mvinyo wanywe; mkawaamuru manabii, mkisema, Msifanye unabii.
13. Tazameni, nitawalemea ninyi,Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda.
14. Naye apigaye mbio atapotewa na kimbilio;Wala aliye hodari hataongeza nguvu zake;Wala shujaa hatajiokoa nafsi yake;