Agano la Kale

Agano Jipya

2 Sam. 10:8 Swahili Union Version (SUV)

Wana wa Amoni wakatoka, wakapanga vita mahali pa kuingilia lango; na Washami wa Soba, na wa Rehobu, na watu wa Tobu, na wa Maaka, walikuwa peke yao uwandani.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 10

Mtazamo 2 Sam. 10:8 katika mazingira