Agano la Kale

Agano Jipya

Yud. 1:18-20 Swahili Union Version (SUV)

18. ya kwamba waliwaambia ya kuwa, Wakati wa mwisho watakuwako watu wenye kudhihaki, wakizifuata tamaa zao wenyewe za upotevu.

19. Watu hao ndio waletao matengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.

20. Bali ninyi, wapenzi, mkijijenga juu ya imani yenu iliyo takatifu sana, na kuomba katika Roho Mtakatifu,

Kusoma sura kamili Yud. 1