Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 9:37-41 Swahili Union Version (SUV)

37. Yesu akamwambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye.

38. Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia.

39. Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, ili wao wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu.

40. Baadhi ya Mafarisayo waliokuwapo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je! Sisi nasi tu vipofu?

41. Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.

Kusoma sura kamili Yn. 9