Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 8:15-18 Swahili Union Version (SUV)

15. Ninyi mwahukumu kwa kufuata mambo ya mwili; mimi simhukumu mtu.

16. Nami nijapohukumu, hukumu yangu ni kweli; kwa kuwa mimi si peke yangu, bali ni mimi na yeye aliyenipeleka.

17. Tena katika torati yenu imeandikwa kwamba, Ushuhuda wa watu wawili ni kweli.

18. Mimi ndimi ninayejishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenipeleka ananishuhudia.

Kusoma sura kamili Yn. 8