Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 7:50-52 Swahili Union Version (SUV)

50. Akawaambia Nikodemo, (naye ni yule aliyemwendea zamani, maana ni mmoja wao),

51. Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?

52. Wakajibu, wakamwambia, Je! Wewe nawe umetoka Galilaya! Tafuta, ukaone ya kuwa kutoka Galilaya hakutokea nabii.

Kusoma sura kamili Yn. 7