Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 6:18-21 Swahili Union Version (SUV)

18. Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.

19. Basi wakavuta makasia kadiri ya maili tatu nne, wakamwona Yesu anakwenda juu ya bahari na kukikaribia chombo; wakaogopa.

20. Naye akawaambia, Ni mimi, msiogope.

21. Basi wakataka kumpokea chomboni; na mara hiyo chombo kikaifikilia nchi waliyokuwa wakiiendea.

Kusoma sura kamili Yn. 6