18. Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.
19. Basi wakavuta makasia kadiri ya maili tatu nne, wakamwona Yesu anakwenda juu ya bahari na kukikaribia chombo; wakaogopa.
20. Naye akawaambia, Ni mimi, msiogope.
21. Basi wakataka kumpokea chomboni; na mara hiyo chombo kikaifikilia nchi waliyokuwa wakiiendea.