Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 4:6 Swahili Union Version (SUV)

Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo. Basi Yesu, kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo ilikuwa yapata saa sita.

Kusoma sura kamili Yn. 4

Mtazamo Yn. 4:6 katika mazingira