Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 4:45 Swahili Union Version (SUV)

Basi alipotoka Galilaya, Wagalilaya walimpokea; kwa kuwa wameyaona mambo yote aliyoyatenda huko Yerusalemu wakati wa sikukuu; maana hao nao waliiendea sikukuu.

Kusoma sura kamili Yn. 4

Mtazamo Yn. 4:45 katika mazingira