Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 4:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Kwa hiyo Bwana, alipofahamu ya kuwa Mafarisayo wamesikia ya kwamba, Yesu anafanya wanafunzi wengi kuliko Yohana, na kuwabatiza,

2. (lakini Yesu mwenyewe hakubatiza, bali wanafunzi wake,)

3. aliacha Uyahudi, akaenda zake tena mpaka Galilaya.

Kusoma sura kamili Yn. 4