Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 3:34-36 Swahili Union Version (SUV)

34. Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu; kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.

35. Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote mkononi mwake.

36. Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.

Kusoma sura kamili Yn. 3