Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 21:18 Swahili Union Version (SUV)

Akasema, Amin, amin, nakuambia, Wakati ulipokuwa kijana, ulikuwa ukijifunga mwenyewe na kwenda utakako; lakini utakapokuwa mzee, utainyosha mikono yako, na mwingine atakufunga na kukuchukua usikotaka.

Kusoma sura kamili Yn. 21

Mtazamo Yn. 21:18 katika mazingira