Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 20:11 Swahili Union Version (SUV)

Lakini Mariamu alikuwa akisimama karibu na kaburi, nje yake, analia. Basi akilia hivi, aliinama na kuchungulia ndani ya kaburi.

Kusoma sura kamili Yn. 20

Mtazamo Yn. 20:11 katika mazingira