Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 19:13 Swahili Union Version (SUV)

Basi Pilato, aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha.

Kusoma sura kamili Yn. 19

Mtazamo Yn. 19:13 katika mazingira