Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 14:30-31 Swahili Union Version (SUV)

30. Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.

31. Lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na kama vile Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, twendeni zetu.

Kusoma sura kamili Yn. 14