Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 11:31 Swahili Union Version (SUV)

Basi wale Wayahudi waliokuwapo na Mariamu nyumbani, wakimfariji, walipomwona jinsi alivyoondoka upesi na kutoka, walimfuata; huku wakidhania ya kuwa anakwenda kaburini ili alie huko.

Kusoma sura kamili Yn. 11

Mtazamo Yn. 11:31 katika mazingira