Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 1:24-28 Swahili Union Version (SUV)

24. Nao wale waliotumwa walikuwa wametoka kwa Mafarisayo.

25. Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?

26. Yohana akawajibu akisema, Mimi nabatiza kwa maji. Katikati yenu amesimama yeye msiyemjua ninyi.

27. Ndiye yule ajaye nyuma yangu, ambaye mimi sistahili kuilegeza gidamu ya kiatu chake.

28. Hayo yalifanyika huko Bethania ng’ambo ya Yordani, alikokuwako Yohana akibatiza.

Kusoma sura kamili Yn. 1