Agano la Kale

Agano Jipya

Yn. 1:1-4 Swahili Union Version (SUV)

1. Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

Kusoma sura kamili Yn. 1