Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 9:20 Swahili Union Version (SUV)

Na wanadamu waliosalia, wasiouawa kwa mapigo hayo, hawakuzitubia zile kazi za mikono yao, hata wasiwasujudie mashetani, na sanamu za dhahabu na za fedha na za shaba na za mawe na za miti, zisizoweza kuona wala kusikia wala kuenenda.

Kusoma sura kamili Ufu. 9

Mtazamo Ufu. 9:20 katika mazingira