Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 9:17 Swahili Union Version (SUV)

Hiyo ndivyo nilivyowaona hao farasi katika maono yangu, nao waliokaa juu yao, wana dirii kifuani, kama za moto, na za samawi, na za kiberiti; na vichwa vya farasi hao ni kama vichwa vya simba, na katika vinywa vyao hutoka moto na moshi na kiberiti.

Kusoma sura kamili Ufu. 9

Mtazamo Ufu. 9:17 katika mazingira