Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 5:6 Swahili Union Version (SUV)

Nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale wenye uhai wanne, na katikati ya wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, alikuwa kana kwamba amechinjwa, mwenye pembe saba na macho saba, ambazo ni Roho saba za Mungu zilizotumwa katika dunia yote.

Kusoma sura kamili Ufu. 5

Mtazamo Ufu. 5:6 katika mazingira