Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 3:5 Swahili Union Version (SUV)

Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe, wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu, na mbele ya malaika zake.

Kusoma sura kamili Ufu. 3

Mtazamo Ufu. 3:5 katika mazingira