Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 22:19 Swahili Union Version (SUV)

Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.

Kusoma sura kamili Ufu. 22

Mtazamo Ufu. 22:19 katika mazingira