Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 20:6 Swahili Union Version (SUV)

Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu.

Kusoma sura kamili Ufu. 20

Mtazamo Ufu. 20:6 katika mazingira