Agano la Kale

Agano Jipya

Ufu. 20:12 Swahili Union Version (SUV)

Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa na matendo yao.

Kusoma sura kamili Ufu. 20

Mtazamo Ufu. 20:12 katika mazingira